wakuu pamoja na msaada wa jamaa,naomba pia msaada wa hili-natumia nokia 5130c-2 nataka niitumie kama moderm,je kuna softwares za kuinstal labda kwenye simu au laptop?na kama zipo nitazipataje? na kwa wale wataalam wa haya mambo naombeni ushauri zaidi..thanks