Msaada tecno W4 nikiwasha data inakua slow sana

Msaada tecno W4 nikiwasha data inakua slow sana

2in1

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2014
Posts
224
Reaction score
109
Wakuu simu yangu w4 nikiwasha data connection hua inakua slow sana,katika internet yenyewe ipo normal ila tatizo ni vile nikitaka kuscroll hua inagandaganda sana.Msaada wakuu
 
hiyo simu pengine inahitaji kuapdate system yake maana wametoa version mpya. kuupdate nenda SETTINGS, ABOUT PHONE, SYSTEM UPDATE kisha uta ona kiduarA upande wa juu kwenye kioo kulia ukikibonyeza itasearch kisha itakuonyesha version mpya inayotakiwa kuwekwa hakikisha simu yako inakuwa na chearg ya kutosha usisahau kujiunga na kifurushi kikubwa cha internet maana muda mwingine inaweza ikakata {gb 2 zitakufikisha}.....vile vile unaweza ukabadilisha laini pengine laini unayotumia eneo hilo haina nguvu kimtandao....au nenda settings, more, mobile network, prefferred network, wcdm/gsm{auto}
fanya hayo mkuu kisha lete mrejesho
 
hiyo simu pengine inahitaji kuapdate system yake maana wametoa version mpya. kuupdate nenda SETTINGS, ABOUT PHONE, SYSTEM UPDATE kisha uta ona kiduarA upande wa juu kwenye kioo kulia ukikibonyeza itasearch kisha itakuonyesha version mpya inayotakiwa kuwekwa hakikisha simu yako inakuwa na chearg ya kutosha usisahau kujiunga na kifurushi kikubwa cha internet maana muda mwingine inaweza ikakata {gb 2 zitakufikisha}.....vile vile unaweza ukabadilisha laini pengine laini unayotumia eneo hilo haina nguvu kimtandao....au nenda settings, more, mobile network, prefferred network, wcdm/gsm{auto}
fanya hayo mkuu kisha lete mrejesho
Ngojea mkuu basi niangalie
 
Duh"Pole sana Jombaa kwa kutumia tecno*Simu inayopatikana Africa tuu"kisha huwa specifications zake ni za uwongo mtuuupu""##LoL mi napita tuu
ingia online shopping nunua simu kwa us 100.safi kabisa sasa t
W4 ya juzi.c8 zote mbovu mtaani maana mlizigombania kinoma.mtafute mwenye iphone old model 4g. 4s. 5.kama ushawahi kusikia wanalialia.au Microsoft lumia.blackberry z10 , z30 .q10. Hahaaaa mnapenda kitonga baada miezi miwili simu umelichoka limechaa charge aijai.
 
ingia online shopping nunua simu kwa us 100.safi kabisa sasa t
W4 ya juzi.c8 zote mbovu mtaani maana mlizigombania kinoma.mtafute mwenye iphone old model 4g. 4s. 5.kama ushawahi kusikia wanalialia.au Microsoft lumia.blackberry z10 , z30 .q10. Hahaaaa mnapenda kitonga baada miezi miwili simu umelichoka limechaa charge aijai.
mkuu nipe mfano wa hiyo simu ntakayopata online kwa us100?
 
Tecno kama hauwezi kutumia acha na kutumia pikipiki kama sanlg; na nyingine zote za kichina! Tumia yamaha; na nyingine za kijapan!!
 
hiyo simu pengine inahitaji kuapdate system yake maana wametoa version mpya. kuupdate nenda SETTINGS, ABOUT PHONE, SYSTEM UPDATE kisha uta ona kiduarA upande wa juu kwenye kioo kulia ukikibonyeza itasearch kisha itakuonyesha version mpya inayotakiwa kuwekwa hakikisha simu yako inakuwa na chearg ya kutosha usisahau kujiunga na kifurushi kikubwa cha internet maana muda mwingine inaweza ikakata {gb 2 zitakufikisha}.....vile vile unaweza ukabadilisha laini pengine laini unayotumia eneo hilo haina nguvu kimtandao....au nenda settings, more, mobile network, prefferred network, wcdm/gsm{auto}
fanya hayo mkuu kisha lete mrejesho
My system is up to date mkuu
 
Duh"Pole sana Jombaa kwa kutumia tecno*Simu inayopatikana Africa tuu"kisha huwa specifications zake ni za uwongo mtuuupu""##LoL mi napita tuu
Simu nimenunua 200000 halafu inanitesa sana aisee
 
Simu nimenunua 200000 halafu inanitesa sana aisee
Unanung'unika bure mkuu.
Simu kuzingua ni we' mwenyewe kushindwa kuichezea,mbona mi' mwenyewe natumia mchina ila siliilii wala nini.
Hujui kuitumia hiyo simu,hill tatizo lililojitokeza sasa hivi umelisababisha we' mwenyewe kwa kusetiseti hovyo hovyo.
 
Natumia Tecno W4 kama yako na haina tatizo lolote mpaka nw nimenunu tangu mwezi wa 4
 
Back
Top Bottom