Msaada: Tecno M6 inagoma kuzima

Msaada: Tecno M6 inagoma kuzima

MansaMusa

Senior Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
103
Reaction score
13
Jamani msaada nimenunua Techno M6 dukani mpya ila option ya kurestart na kushutdown haifanyi kazi. kuzima mpaka nishedule power itajizima yenyewe. Mwenye ujuzi ama niirudishe
 
Asanten kwa ushaur ngoja niirejeshe

Usipende kutumia jina kama hili on cyber space, kama sio humu basi kwa forums nyingine.

Hacker, Dengerous n.k sio kwamba watu watakuogopa bali utashindwa kupata msaada na baadhi watakuprofile kama extremely unintelligent nazungumzia wenye mawazo chanya.

Welcome JF though

Cc: gray hacker, IBN HACKER n.k
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom