Almost simu zote za laini mbili zinakuruhusu kutumia 3G radio kwenye laini moja pekee. Simu nyingine wame-limit hata laini inayoweza kuwa 3G enabled, i.e. SIM1 or SlM2 only. Ingawa sina hakika na model ya simu yako, lakini general rule ni kwamba utapata 3G kwenye laini moja na sio zote.