Msaada tecno CX inaingiza chaji kwa spidi ndogo

Msaada tecno CX inaingiza chaji kwa spidi ndogo

LAPUA MAGNUM 338

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
431
Reaction score
1,225
Habari wanajamvi, naomba msaada mwenye kujua kuhusu simu tecno cx inapeleka chaji kwa speed ndogo sana yan kwa nusu saa inaweza peleka asilimia 5, pamoja na kubadil charger kadhaa lakin tatizo bado, hiv tatizo linaweza kuwa ni kitu gani labda au system chaj itakua na tatizo, simu ina miezi 4.
 
Nakushauri utafute fast chaji au chaja ya kuaminika na siyo kuchukua chaji zisizofaa ,ukiona tatizo linaendelea basi shida ni system chaji hemu peleka Tecno customer care kuna mafundi wazuri watakurekebishia bila chenga ..
 
Nakushauri utafute fast chaji au chaja ya kuaminika na siyo kuchukua chaji zisizofaa ,ukiona tatizo linaendelea basi shida ni system chaji hemu peleka Tecno customer care kuna mafundi wazuri watakurekebishia bila chenga ..
Mkuu nmejarib chaja nying zmezingua ngja niwapelekee tecno, shukrani mkuu.
 
Hapo ishu ni chaja, umetumia chaja yake original? Kama nayo imekataa bas nenda tu tecno kama mdau alivyoshauri hapa
 
Nakushauri utafute fast chaji au chaja ya kuaminika na siyo kuchukua chaji zisizofaa ,ukiona tatizo linaendelea basi shida ni system chaji hemu peleka Tecno customer care kuna mafundi wazuri watakurekebishia bila chenga ..
Niuzie mkuu 0620436634
 
Nakuibia siri mkuu cx bila chaja yake original ile fast charger usitegemee kitu... Na charger yake inasukuma approx 1% per 1 to 1.5mins
nilikua cjui mkuu chaja yake iliungua so nikanunua tu chaja ya 15000 nkajua nayo itakua poa, ila thanks nitatafta chaja yake original
 
Nakuibia siri mkuu cx bila chaja yake original ile fast charger usitegemee kitu... Na charger yake inasukuma approx 1% per 1 to 1.5mins
We umeongea nilisahau chaja yangu sehemu simu skuwahi kujaza kwa chaja nyingine
 
Nakuibia siri mkuu cx bila chaja yake original ile fast charger usitegemee kitu... Na charger yake inasukuma approx 1% per 1 to 1.5mins
Usimdanganye mwenzako mkuu charge ya cx ni original na in charge faster nimenunua hizo sim tatu na zote ziko poa charge yake.
 
Mrejesho wakuu nilitafuta fast Chaja na saizi imerudi Kama awali, ilibakia kudogo mafundi wajilie hela za bule
 
Back
Top Bottom