Thread ya TECNO ipo lakini ujuzi wao mdogo wameanzisha lakini maswali mengi ya wadau hawajibuChondechonde jf hakuna uwezekano wa kuanzisha TECNO SPECIAL THREAD
nenda kwenye setting backup and reset factory reset ila kabla huja fanya hivyo copy hayo majina yako maana vitu vyako vitafutikaWadau habari,
simu yangu ya Tecno C9 inatatizo sehemu ya phonebook, yaani ukibonyeza jina halifunguki,nikitaka kupiga simu mpaka niandike namba kwenye karatasi.
matatizo ya tecno ni too much..kuna mdogo wangu tecno W3 imezima yan kachanganyikiwa!!Chondechonde jf hakuna uwezekano wa kuanzisha TECNO SPECIAL THREAD
Tuanzie hapa kwanza...Unajua maana ya warranty? Uliponunua hiyo simu ulipewa warranty? Kama ni ndio warudishie waliokuuzia kama wapo karibu nawe watakutatulia tatizo lako au wakala yeyote wa TECNO karibu yako.Hii simu ni mpya nimeinunua dukani jumamosi
Asante mkuu kwa ushauri wakoTuanzie hapa kwanza...Unajua maana ya warranty? Uliponunua hiyo simu ulipewa warranty? Kama ni ndio warudishie waliokuuzia kama wapo karibu nawe watakutatulia tatizo lako au wakala yeyote wa TECNO karibu yako.
NB: TUJIFUNZE UMUHIMU WA KUTUMIA WARRANTY ZA BIDHAA TUZONUNUA.