Msaada tatizo la laptop kuzima mara kwa mara

Msaada tatizo la laptop kuzima mara kwa mara

Leembaswagger

Senior Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
100
Reaction score
34
Habari za jioni wanajukwaa,laptop yangu aina ya dell inspiron n5040 hivi karibuni imeanza tabia ya kujizima ninapokuwa naitumia.

Huwa kama inataka kustack then inazimika,ikishazima nikijaribu kuiwasha kwa muda huohuo huwa inaniambia "your PC run into problems,preparing automatic repair".

Mara ya kwanza nilijua ni tatizo la operating system nikaibadilisha ( mwanzoni ilikuwa windows 7 professionalsasa hivi nimeweka windows 8 professional ) ila tatizo likajirudia,pia nilishauriwa kuwa huenda computer inaoverheat nikainunulia cooler pad ambayo inaipoza vizuri ila bado tatizo linaendelea.

Angalia attachments kuona aina ya computer na nameplate yake.

Naombeni ushauri au utatuzi wa tatizo hili....
 

Attachments

  • WP_20140401_032.jpg
    WP_20140401_032.jpg
    294.5 KB · Views: 188
  • WP_20140401_034.jpg
    WP_20140401_034.jpg
    459.3 KB · Views: 179
Habari za jioni wanajukwaa,laptop yangu aina ya dell inspiron n5040 hivi karibuni imeanza tabia ya kujizima ninapokuwa naitumia.

Huwa kama inataka kustack then inazimika,ikishazima nikijaribu kuiwasha kwa muda huohuo huwa inaniambia "your PC run into problems,preparing automatic repair".

Mara ya kwanza nilijua ni tatizo la operating system nikaibadilisha ( mwanzoni ilikuwa windows 7 professionalsasa hivi nimeweka windows 8 professional ) ila tatizo likajirudia,pia nilishauriwa kuwa huenda computer inaoverheat nikainunulia cooler pad ambayo inaipoza vizuri ila bado tatizo linaendelea.

Angalia attachments kuona aina ya computer na nameplate yake.

Naombeni ushauri au utatuzi wa tatizo hili....
Angalia kama inapata moto sana itakuwa na tatizo fan kufeli
 
kwa kesi hiyo hakutakua na tatizo zaidi ya kuoverheat tena kutokana na kurun application kubwa kama games na nyingine nzinto... au battery pamoja na adapter unayoitimia jaribu kuziangalia..
zaidi ni hiyk ya kuoverheat kama kabla haijazima utasikia fan inarun speed mno then inazima .. basi ujue ni over heat .
 
kwa kesi hiyo hakutakua na tatizo zaidi ya kuoverheat tena kutokana na kurun application kubwa kama games na nyingine nzinto... au battery pamoja na adapter unayoitimia jaribu kuziangalia..
zaidi ni hiyk ya kuoverheat kama kabla haijazima utasikia fan inarun speed mno then inazima .. basi ujue ni over heat .

Thank you mkuu mandella kwa msaada,ngoja niufanyie kazi ushauri wako.
Shukran sana.
 
Back
Top Bottom