Msaada: Tatizo la kihisia muda wa tendo!

Msaada: Tatizo la kihisia muda wa tendo!

Nyankuru

Member
Joined
Mar 18, 2016
Posts
26
Reaction score
8
Habarini wana Jamiiforum!
Ningependa kufafanua moja kwa moja tatizo lenyewe!;
Nimekuwa na tatizo la kutohisi Chochote wakati wa kujamiiana!..hamu ya kufanya inakuwepo, uume inasimama vizuri!
Kimbembe ni muda wote wa kujamiiana hakuna Raha yoyote nayoipata isipokuwa mwishoni muda wa kupiga bao!
Msaada Kama kuna mtu amewahi kutana na kesi kama hii!
 
Habarini wana Jamiiforum!
Ningependa kufafanua moja kwa moja tatizo lenyewe!;
Nimekuwa na tatizo la kutohisi Chochote wakati wa kujamiiana!..hamu ya kufanya inakuwepo, uume inasimama vizuri!
Kimbembe ni muda wote wa kujamiiana hakuna Raha yoyote nayoipata isipokuwa mwishoni muda wa kupiga bao!
Msaada Kama kuna mtu amewahi kutana na kesi kama hii!

Tafuta mwanamke anaekuvutia, huyo huna hisia nae
 
Habarini wana Jamiiforum!
Ningependa kufafanua moja kwa moja tatizo lenyewe!;
Nimekuwa na tatizo la kutohisi Chochote wakati wa kujamiiana!..hamu ya kufanya inakuwepo, uume inasimama vizuri!
Kimbembe ni muda wote wa kujamiiana hakuna Raha yoyote nayoipata isipokuwa mwishoni muda wa kupiga bao!
Msaada Kama kuna mtu amewahi kutana na kesi kama hii!
Huo mwiki vipi,una fit sufuria???
 
Nyeto mbaya sana wale wanawake wa mitandaoni walivyo wasafi hao unaona wachafu acha hzo mkuu.
 
Back
Top Bottom