proskaeur
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 1,562
- 4,899
Wakuu kwema!!
Kwanza kabisa mimi si muumini wa ndoto, huwa naamini ndoto ni reflection (marejeo) ya yale ninayoyawaza sana ndio yanakuja kwa njia ya ndoto kama marejeo
Ila kwa hii niliyoota siku kadhaa zilizopita imenifanya kufikiria zaidi
Niliota mama Samia, Mheshimiwa Rais amenipatia nyaraka fulani aliyosema ni ya siri, hivyo niitunze na nisimuoneshe mtu yeyote mpaka atakapoihitaji tena yeye mwenyewe
Mazingira ya tulipokutania ilikuwa ni kama anafanya mkutano wa hadhara maana kulikuwa na watu wengi eneo lile
Imenifanya nifikirie nini maana ya ndoto hii, ukitegemea kuwa mimi si mtu wa kitengo wala sifanyi kazi katika sekta nyeti za serikali kwani mimi ni Jobless tu ninayetafuta kazi na kuhangaika na biashara ndogo ndogo
Hivyo ndugu zangu, kwa anayejua tafsiri ya ndoto anisaidie ili atleast nipate mwanga kidogo
Ahsante!!!!
Kwanza kabisa mimi si muumini wa ndoto, huwa naamini ndoto ni reflection (marejeo) ya yale ninayoyawaza sana ndio yanakuja kwa njia ya ndoto kama marejeo
Ila kwa hii niliyoota siku kadhaa zilizopita imenifanya kufikiria zaidi
Niliota mama Samia, Mheshimiwa Rais amenipatia nyaraka fulani aliyosema ni ya siri, hivyo niitunze na nisimuoneshe mtu yeyote mpaka atakapoihitaji tena yeye mwenyewe
Mazingira ya tulipokutania ilikuwa ni kama anafanya mkutano wa hadhara maana kulikuwa na watu wengi eneo lile
Imenifanya nifikirie nini maana ya ndoto hii, ukitegemea kuwa mimi si mtu wa kitengo wala sifanyi kazi katika sekta nyeti za serikali kwani mimi ni Jobless tu ninayetafuta kazi na kuhangaika na biashara ndogo ndogo
Hivyo ndugu zangu, kwa anayejua tafsiri ya ndoto anisaidie ili atleast nipate mwanga kidogo
Ahsante!!!!