habari za jioni learned brothers n sis,
Eti Kama judgment ya primary court imetoa siku 45 za rufaa, wakati huo magistrate court act inasema siku za ku file petition of appeal ni 30 Tu. what is a stand of law sasa wakati huo upande wa pili umepiga P.O kwakua umefile appeal siku ya 36 baada ya hukumu kutoka. what is a stand there?