Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,162
- 21,296
Wanajukwaa samahani kwa usumbufu
Nilikuwa naomba msaada kwa anaeijua hii shule,,
kama kuna mwanafunzi anayesoma, au kuna mwalimu anaefundisha hii shule IGALULA SEC SCHOOL, ipoo Tabora, Uyui
Naomba kujua kama ina advance, mazingira yote kwa ujumla, huduma za kijamii, na mambo mengine kuhusu hii shule
Nilikuwa naomba msaada kwa anaeijua hii shule,,
kama kuna mwanafunzi anayesoma, au kuna mwalimu anaefundisha hii shule IGALULA SEC SCHOOL, ipoo Tabora, Uyui
Naomba kujua kama ina advance, mazingira yote kwa ujumla, huduma za kijamii, na mambo mengine kuhusu hii shule