Wataalam hamjambo?Nahitaji kuanzisha biashara ya kuflash simu za za mchina na Nokia original.Je ninunue nini na nini kutimiza malengo yangu?je vifaa vinavyohitajika ni kwa gharama gani?Computer ninayo na ninatumia kwa matengenezo madogo madogo ya simu.MSAADA JAMANI HIYO KITU INALIPA SANA HUKU KWETU TABORA