Msaada tafadhali

Msaada tafadhali

Kusini pride

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,762
Reaction score
4,070
Nilimuachisha chuo, Mke wangu kagundua, ana Mimba mapacha watatu! Msaidie afungue biashara huko kwao!

Nahisi kuchanganyikiwa na sijui nifanye nini, kuna huyu binti niko naye kwenye mahusiano kwa miaka 5 au 6 sasa. Wakati nakutana na huyu binti alikuwa yuko chuo, na mimi nilikuwa nataka mtu wa kunisimamia biashara zangu, nilimuona nikaanzisha naye mahusiano, akawa anakuja dukani kwangu kipindi cha likizo, nilikuwa namlipa lakini baadae tukaingia kwenye mahusiano.

Alikuwa ananifanyia kazi vizuri ukizingatia nishafukuza wafanyakazi zaidi ya 10 hivyo nilimshawishi aache chuo ili asimamie biashara.

Ili kumuaminisha kuwa nitamuoa nilimtafutia TIN namba nikafungua na duka ambalo anatumia TIN yake lakini mzigo wote nilikuwa nikicontrol mimi hivyo nilijua hata tukigombana akitaka kuniacha nitatafuta fuso nipakie mzigo wangu wote na kumuacha na TIN namba yake kwani hata fremu ilikuwa ni nyumba yangu.
Aliniamini kweli, nimemshawishi mpaka akaacha chuo alikuwa anasomea udaktari alikuwa mwaka 3, hivyo tukawa tuko dukani.

Maisha yaliendelea na hakukuwa na shida, mwaka jana mke wangu alihisi kuwa nachepuka, na kwa ninavyomjua mke wangu nilijua atachunguza tu, hivyo harakaharaka nilimuambia binti kuwa anataka mtoto. Nilimuambia akaniambia nishakufanyia mambo mengi namna hii kwanini usinizalie, alinambia niende kwao kujitambulisha nikasema hamna shida, nilitafuta watu wawili tukaenda kujitambulisha ila nilimuambia siatoi mahari mpaka anizalie. Hata hatukuhangaika alibeba mimba na sasa hivi yuko kwao kujifungua.

Sababu ya kuja kwako ni hivi, mke wangu keshajua kuwa kuna mwanamke mwingine.
Anatishia talaka kashafungua na kesi mahakamani, mwanzo nilijua mke wangu hana ubavu wa kuniacha ila amekasirika baada ya kusikia yule binti nimefungulia duka ila kiuhalisia ni muuzaji tu. Hivyo amenambia kama nataka ndoa yangu basi binti asirudi dukani, kwa hali ilivyofikia najua mke wangu tukiachana ni hasara kwani kuna mali nyingi tumechuma naye pia ni sehemu ya biashara yangu.

Nimekubali kuachana na huyu binti na hatarudi tena dukani, shida ni kwamba tulishaangalia ana mapacha na si mapacha wawili bali ni watatu. Kwao wanajua keshamaliza chuo ila anahangaika kutafuta kazi, inamaanisha wanajua ni daktari tayari kwani sisi tuna miaka 5 na mimi nilianza naye akiwa chuo mwaka wa 3.
Nataka nimtumie mtaji kidogo ili akafanyie maisha huko kwao asirudi huku kwani hamna kitu
 
Unapelekeshwa na hao wanawake, kuwa na msimamo la sivyo utaharibikiwa. Oa wote uwe na mitaala na uwatunze
 
Nilimuachisha chuo, Mke wangu kagundua, ana Mimba mapacha watatu! Msaidie afungue biashara huko kwao!

Nahisi kuchanganyikiwa na sijui nifanye nini, kuna huyu binti niko naye kwenye mahusiano kwa miaka 5 au 6 sasa. Wakati nakutana na huyu binti alikuwa yuko chuo, na mimi nilikuwa nataka mtu wa kunisimamia biashara zangu, nilimuona nikaanzisha naye mahusiano, akawa anakuja dukani kwangu kipindi cha likizo, nilikuwa namlipa lakini baadae tukaingia kwenye mahusiano.

Alikuwa ananifanyia kazi vizuri ukizingatia nishafukuza wafanyakazi zaidi ya 10 hivyo nilimshawishi aache chuo ili asimamie biashara.

Ili kumuaminisha kuwa nitamuoa nilimtafutia TIN namba nikafungua na duka ambalo anatumia TIN yake lakini mzigo wote nilikuwa nikicontrol mimi hivyo nilijua hata tukigombana akitaka kuniacha nitatafuta fuso nipakie mzigo wangu wote na kumuacha na TIN namba yake kwani hata fremu ilikuwa ni nyumba yangu.
Aliniamini kweli, nimemshawishi mpaka akaacha chuo alikuwa anasomea udaktari alikuwa mwaka 3, hivyo tukawa tuko dukani.

Maisha yaliendelea na hakukuwa na shida, mwaka jana mke wangu alihisi kuwa nachepuka, na kwa ninavyomjua mke wangu nilijua atachunguza tu, hivyo harakaharaka nilimuambia binti kuwa anataka mtoto. Nilimuambia akaniambia nishakufanyia mambo mengi namna hii kwanini usinizalie, alinambia niende kwao kujitambulisha nikasema hamna shida, nilitafuta watu wawili tukaenda kujitambulisha ila nilimuambia siatoi mahari mpaka anizalie. Hata hatukuhangaika alibeba mimba na sasa hivi yuko kwao kujifungua.

Sababu ya kuja kwako ni hivi, mke wangu keshajua kuwa kuna mwanamke mwingine.
Anatishia talaka kashafungua na kesi mahakamani, mwanzo nilijua mke wangu hana ubavu wa kuniacha ila amekasirika baada ya kusikia yule binti nimefungulia duka ila kiuhalisia ni muuzaji tu. Hivyo amenambia kama nataka ndoa yangu basi binti asirudi dukani, kwa hali ilivyofikia najua mke wangu tukiachana ni hasara kwani kuna mali nyingi tumechuma naye pia ni sehemu ya biashara yangu.

Nimekubali kuachana na huyu binti na hatarudi tena dukani, shida ni kwamba tulishaangalia ana mapacha na si mapacha wawili bali ni watatu. Kwao wanajua keshamaliza chuo ila anahangaika kutafuta kazi, inamaanisha wanajua ni daktari tayari kwani sisi tuna miaka 5 na mimi nilianza naye akiwa chuo mwaka wa 3.
Nataka nimtumie mtaji kidogo ili akafanyie maisha huko kwao asirudi huku kwani hamna kitu
Pumbafu kabisa wewe.
 
Pumbavu!

Selfish bastard!

Sijawahi kutukana mtu humu wewe ni wa kwanza. Na please naomba sana usinijibu maana tutafikishana mbali aisee. F*ck!👇 😡😡😡🚮🚮🚮

1744133735352 (1).jpg
 
Umekulaaaaaaa???? Au ndio unatupigiaaa kelele hapa mkee wangu mkee wangu maraa binti binti maninaa zako
 
Nilimuachisha chuo, Mke wangu kagundua, ana Mimba mapacha watatu! Msaidie afungue biashara huko kwao!

Nahisi kuchanganyikiwa na sijui nifanye nini, kuna huyu binti niko naye kwenye mahusiano kwa miaka 5 au 6 sasa. Wakati nakutana na huyu binti alikuwa yuko chuo, na mimi nilikuwa nataka mtu wa kunisimamia biashara zangu, nilimuona nikaanzisha naye mahusiano, akawa anakuja dukani kwangu kipindi cha likizo, nilikuwa namlipa lakini baadae tukaingia kwenye mahusiano.

Alikuwa ananifanyia kazi vizuri ukizingatia nishafukuza wafanyakazi zaidi ya 10 hivyo nilimshawishi aache chuo ili asimamie biashara.

Ili kumuaminisha kuwa nitamuoa nilimtafutia TIN namba nikafungua na duka ambalo anatumia TIN yake lakini mzigo wote nilikuwa nikicontrol mimi hivyo nilijua hata tukigombana akitaka kuniacha nitatafuta fuso nipakie mzigo wangu wote na kumuacha na TIN namba yake kwani hata fremu ilikuwa ni nyumba yangu.
Aliniamini kweli, nimemshawishi mpaka akaacha chuo alikuwa anasomea udaktari alikuwa mwaka 3, hivyo tukawa tuko dukani.

Maisha yaliendelea na hakukuwa na shida, mwaka jana mke wangu alihisi kuwa nachepuka, na kwa ninavyomjua mke wangu nilijua atachunguza tu, hivyo harakaharaka nilimuambia binti kuwa anataka mtoto. Nilimuambia akaniambia nishakufanyia mambo mengi namna hii kwanini usinizalie, alinambia niende kwao kujitambulisha nikasema hamna shida, nilitafuta watu wawili tukaenda kujitambulisha ila nilimuambia siatoi mahari mpaka anizalie. Hata hatukuhangaika alibeba mimba na sasa hivi yuko kwao kujifungua.

Sababu ya kuja kwako ni hivi, mke wangu keshajua kuwa kuna mwanamke mwingine.
Anatishia talaka kashafungua na kesi mahakamani, mwanzo nilijua mke wangu hana ubavu wa kuniacha ila amekasirika baada ya kusikia yule binti nimefungulia duka ila kiuhalisia ni muuzaji tu. Hivyo amenambia kama nataka ndoa yangu basi binti asirudi dukani, kwa hali ilivyofikia najua mke wangu tukiachana ni hasara kwani kuna mali nyingi tumechuma naye pia ni sehemu ya biashara yangu.

Nimekubali kuachana na huyu binti na hatarudi tena dukani, shida ni kwamba tulishaangalia ana mapacha na si mapacha wawili bali ni watatu. Kwao wanajua keshamaliza chuo ila anahangaika kutafuta kazi, inamaanisha wanajua ni daktari tayari kwani sisi tuna miaka 5 na mimi nilianza naye akiwa chuo mwaka wa 3.
Nataka nimtumie mtaji kidogo ili akafanyie maisha huko kwao asirudi huku kwani hamna kitu
Wewe ni mtu mbaya sana,wewe ni shetani,unamharibia mtoto wa watu elimu yake ta udaktari? hivi wazazi wake wakijua hili watasemaje? hebu fikiria wewe ndio ungekuwa baba wa huyo mtoto,ungefurahi utendewe hivyo? hakika Mungu atakuadhibu
 
Huyu mwanamke mpumbavu sana, kenda kuacha kusoma kWa AJILI ya mwanamke ambae Ana Mke!
NA WEWE MWANASHERATI WA KIUME KWA KWELI LAANA YA MUNGU ITAKUTAFUNA MPAKA MWISHO WA UHAI WAKO.
ITABIDI HILO DUKA NA MALI ZOTE ZILIZOKUWEPO DUKANI UMWACHIE YEYE, BILA YA HATA KUPUNGUZA KITU CHOCHOTE,
LAA SI HIVYO UJUE KUWA KITAKACHOKUTOKA KITAKUWA KINGI SANA BILA YA KUTARAJIA.
ETİ NIMPE MTAJI KIDOGO.
KHABITHI KWELI KWELI WEWE, UNADHANI HUYO MWANAMKE ATAKUWA MJINGA KIASI GANI UMWAMBIE BAKI HUKO HUKO EEE NAKUTUMIA HELA KIDOGO UFUNGUE BIASHALA MKE WANGU KESHAJUA.
HUYO MWANAMMKE BASI ATAKUWA PUNGUWANI HASWA..
KAMA WEWE NI MUISLAM NJOO TUKUPIGE MAWE MPAKA UFEEE, MAANA HIYO NDIO ADHABU YA MZINIFU ALIOOOA.
AMA MWANAMKE YEYE TUTAMPIGA BAKIRA ZAKE MIA BAADA YA KUMALIZA KUNYONYESHA MIAKA YAKE MIIWILI, MAISHA YAKE YAENDELEE.
WEWE NI KUFA TUU WEWE MSALITI MKUBWA.
GHAAAIN
 
Binti wa mwaka wa Tatu Chuo umri wake si chini ya miaka 23 ety aache Chuo 😂Wewe unatuona sisi mataqo yako ety
 
Acheni wanafunzi wasome ,mambo ya tamaa ni ujinga ...Wewe ulishakuwa na ndoa basi kuwa muungwana ,huyo binti wa watu ushampa watoto ambao watakuwa nuksi kwake kuolewa kama Single mother...Muda mwingine kama mkiwa huru basi mtumie vizuri ,wewe ulitakiwa kuwa jela kabisa.
 
Sijui kama ni chai au kweli lakini kwa selfishness na betrayals nilizoshuhudia kwenye hili tufe linalozunguka, inaweza kuwa kweli.

Infact, reality is stranger than fiction!

Kisha nakumbuka Mungu mwenyewe muumba wa ulimwengu alishuka na kujumuika nasi na best yake mwenyewe alimchomesha akamuua!!! MIMI NI NANI!!
 
Hii inaonekana kweli maana simulation yako haijakaa kimpangilio maana yake umeandika ukiwa na hofu.

Solution ni moja tu lazima ukubali kupoteza either umuoe huyo binti uwe na wake 2,Mke mkubwa akitaka talaka mpe mgawane mali,au umwachie huyo duka huyo Dada.
 
Back
Top Bottom