AiseeUsimpigie simu mfuate alipo.... au mambo ya face to face unaogopa?
Ha ha ha vipi?Aisee
Hapana huwezi kumfuata alipo?Hapana mkuu.
Maana yake ujiongeze,tayari ana mtu anayempa asilimia 99
Aibu nimeona mimiHa ha ha vipi?
Tatizo nyie wa siku hizi vitu vya face to face hamjazoea... Ha ha ha wengi wenu huwa mna babaika sana na kutetemekaAibu nimeona mimi
Binafsi face to face napenda nakuchana live bila kupepesa macho hakuna kuogopa.Tatizo nyie wa siku hizi vitu vya face to face hamjazoea... Ha ha ha wengi wenu huwa mna babaika sana na kutetemeka
Better namna hii, majority face to face ni kazi sanaBinafsi face to face napenda nakuchana live bila kupepesa macho hakuna kuogopa.
Japo ni kazi Sana kumtizama face to face unaweza kugundua ukweli na uwongo.Better namna hii, majority face to face ni kazi sana
Hapa ndo tunakwama wanaume daah
Mademu kibao hawa ww unasumbuliwa na mnuka mkojo mmoja
Hivi hao mademu kibao wako wapi nyie jamaa?
Mm nina mke na michepuko kama 5 hivi
Na mengine inajua wazi kama nina mke na bado imekomaa kua spares wewe unakwama wapi ndugu
Haya madege tumeletewa tujilie tu
Ukiwa kinganganizi sana wanakuona boya aiseeYaani hapa mimi nasubirishwa kama jamaa mleta thread.
Itabidi nijitafakari.
Ukiwa kinganganizi sana wanakuona boya aisee
We jaribu kua smart na maamuz yko usikubal kupelekesha kihisia
Bila ivyo utakua kma mbwa aliowekwa mnyororo shingoni na kuanza kuburuzwa