Lis
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 471
- 346
Imenilazimu kuomba msaada wenu wa Hali na Mali, mnisaidie kunambia kitu kitakacholainisha koo langu ili niwe na sauti nyororo isiyo na Mikwaruzo.
Ofisi yangu imeniteua kusoma risala katika hafla flani hivi, hivyo mnambie ninywe nini ili niweze kulainisha koo langu?
Ofisi yangu imeniteua kusoma risala katika hafla flani hivi, hivyo mnambie ninywe nini ili niweze kulainisha koo langu?