Msaada tafadhali nataka kutuma mzigo Mbinga

Msaada tafadhali nataka kutuma mzigo Mbinga

mwaega

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2013
Posts
201
Reaction score
261
Naombeni msaada nina tv zangu kama nane nimeenda superfeo kutuma wananiambia kila tv nilipie elfu 75 nimeshindwa ila nimeshauriwa nitafute malori yanayosafirisha mikoani mizigo.

Naombeni msaada nataka kutuma MBINGA MJINI

Tafadhali
 
Naombeni msaada nina tv zangu kama nane nimeenda superfeo kutuma wananiambia kila tv nilipie elfu 75 nimeshindwa ila nimeshauriwa nitafute malori yanayosafirisha mikoani mizigo.

Naombeni msaada nataka kutuma MBINGA MJINI

Tafadhali
Nenda pale jangwani au maeneo Ya ilala karibu na amana hospitali kuna kampuni za usafirishaji, maroli
 
Kuna watu wana tamaa aisee kila TV Elfu 75? Hao jamaa ni wa walafi halafu utakuta TV zenyewe ni aboder mtu amenunua 245k.
Nenda jangwani kuna maroli yanasqfirisha mikoani ingawa inabidi uvumilie inachukua muda mzigo kufika sehemu husika
 
Kuna watu wana tamaa aisee kila TV Elfu 75? Hao jamaa ni wa walafi halafu utakuta TV zenyewe ni aboder mtu amenunua 245k.
Nenda jangwani kuna maroli yanasqfirisha mikoani ingawa inabidi uvumilie inachukua muda mzigo kufika sehemu husika
Wanaringa sana wanaenda wenyewe
 
Kuna watu wana tamaa aisee kila TV Elfu 75? Hao jamaa ni wa walafi halafu utakuta TV zenyewe ni aboder mtu amenunua 245k.
Nenda jangwani kuna maroli yanasqfirisha mikoani ingawa inabidi uvumilie inachukua muda mzigo kufika sehemu husika
Kuna tofauti kati ya kusafirisha 'mayai' na kusafirisha mahindi..!! Ifu yu noo yu noo onleee..!!!
 
Naombeni msaada nina tv zangu kama nane nimeenda superfeo kutuma wananiambia kila tv nilipie elfu 75 nimeshindwa ila nimeshauriwa nitafute malori yanayosafirisha mikoani mizigo.

Naombeni msaada nataka kutuma MBINGA MJINI

Tafadhali
Nenda New force bei zao reasonable. super feo amemiliki njia ana gharama sana
 
Naombeni msaada nina tv zangu kama nane nimeenda superfeo kutuma wananiambia kila tv nilipie elfu 75 nimeshindwa ila nimeshauriwa nitafute malori yanayosafirisha mikoani mizigo.

Naombeni msaada nataka kutuma MBINGA MJINI

Tafadhali
Sasa unaona 75 hela nyingi? Panda basi peleka TV mbinga mwenyewe. Dar-mbinga-mbambabay Ni Super feo tu
 
Hao super feo katika tickets za parcel uwa wanaandika kabisa mzigo ukiharibika wao hawahusiki! Hapo sijui utasemaje
Hapa chini ni tiketi ya kusafirisha mzigo ya Superfeo/Selou. Hicho ulichokiandika ni uwongo, wala hujamalizia kwenye mazingira yepi.
1702356854204.png


Masherti yao ni haya;

1. Mzigo utasafirishwa kwa dhamana ya mmiliki wa mzigo.

2. Kampuni haihusiki na kilichomo ndani ya mzigo, itahusika endapo mteja atalipa 50% ya thamani ya mzigo.

3. Kampuni haitahusika na kuvunjika kupungua au kuungua kwa mzigo endapo kutatokea ajali ya moto, kutekwa n.k

Hicho ulichokiandika umekitoa wapi??? Unajua mikataba huwa inakataa kuhusika na natural disasters au yote yaliyo nje ya control ya walioingia mkataba?
 
Ha haaa kwahiyo wakivunja tv imekula kwako hawahusiki
Ndo maana nikasema kwenye coment #9 kwamba kuna tofauti kati ya kusafirisha mayai na kusafirisha mahindi. Unachokisafirisha kina risk gani? Hivi unajua bei ya kusafirisha baruti..???
 
Back
Top Bottom