Pole sana Mkuu kwa kupotelewa na mtoto wako kipenzi kamtafute upande wa mashariki wa hapo alipo poteaAnaitwa STEVE, Amepotea Leo majira ya saa kumi na mbili jioni maeneo ya Tandale Dar es salaam. Pamoja na kutoa taarifa kwenye vyombo vya Usalama, Tafadhali naomba msaada kwa atakayemwona. 0684325700, 0788266255
View attachment 128869
View attachment 128868
Amepatika sasa, asante for your concern!
Amepatika sasa, asante for your concern!
Na ashukuriwe Mungu amepatika sasa kituo pclisi urafiki, Asanten pia kwa kubeba mzigo katika maombi :lieni pamoja nao waliao, furahini pamoja nao wafurahio" God bless you
We Pdidy ulienda wapi chalii?Sali hii sÀla Sema bwana Yes ninatubu mbele zako zambi zangu zote za ukoo name familia..namrejesha Steven popote alipo.namhifadhi kw damu y Yes Steven njoooo itahivimpaka unalala..udikuhuu namzungushia ulinzi was Yesu usiogope Mungu akutie nguvu yukosalama