Night Watch
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 2,003
- 1,953
Naombeni kujuzwa kwa wale wanaofahamu hili tatizo,kwenye kufanya application za chuo inapofika sehemu ya kuweka namba ya mtihani form four na six inaandika no connection to necta try again later.
Shida ni nini mana toka jana na hangaika ila hali ile ile.
Msaada tafadhali kwa anayefahamu hili swala.
Shida ni nini mana toka jana na hangaika ila hali ile ile.
Msaada tafadhali kwa anayefahamu hili swala.