mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Hellow wanabodi naomba kujuzwa madhara ya punyeto kwa mda mrefu zaidi ya miaka 8, Na nizipi njia za kusaidia kuacha hiyo tabia?
Na vipi kuna naamna ya kurudisha nguvu za kiume znazopotea kwa ujinga huo?
Nisaidieni madaktari
Na vipi kuna naamna ya kurudisha nguvu za kiume znazopotea kwa ujinga huo?
Nisaidieni madaktari