The pexie
Member
- Feb 24, 2020
- 35
- 42
Habari ya majukumu wana JF.
Mimi ni mwanaume Aged 23 ni mtanashati (handsome kiasi ) lakini Nina tatizo la kuwa na makalio makubwa sana jambo ambalo limekua likiniondolea ujasiri (confidence) mbele za watu na hata mbele za wanawake.
Nashindwa kuvaa nguo za kuchomekea kwa hofu ya mchomozo wa makalio. Pia T-shirt Nashindwa Kuvaa kabisa nikihofia kujicholesha na Mara Nyingi navaa begi kusudi nipate confidence ya kutembea,Most times nakuwaa natembea Jioni ama usiku at least nakua free kidgo
Honestly ni jambo ambalo Lina niumiza Sana kufikia hata kulia,
Nimewahi kukonda Sana kwa mazoezi(jeshini) lakini pamoja na hayo kufanya mazoezi sana na kupungua mwiil kwa kiasi kikubwa lakini makalio hayapungui kwa kiasi kikubwa kama mwili unavyopungua.
Ombi langu Kwenu kwa anayejua DAWA Au SOLUTION yoyote nzuri ya kupunguza makalio atakuwa kanipa msaada mkubwa kwangu na watanzania wengine wenye matatizo kama hayo ambao hawajui tiba.
Ahsanteni
Mimi ni mwanaume Aged 23 ni mtanashati (handsome kiasi ) lakini Nina tatizo la kuwa na makalio makubwa sana jambo ambalo limekua likiniondolea ujasiri (confidence) mbele za watu na hata mbele za wanawake.
Nashindwa kuvaa nguo za kuchomekea kwa hofu ya mchomozo wa makalio. Pia T-shirt Nashindwa Kuvaa kabisa nikihofia kujicholesha na Mara Nyingi navaa begi kusudi nipate confidence ya kutembea,Most times nakuwaa natembea Jioni ama usiku at least nakua free kidgo
Honestly ni jambo ambalo Lina niumiza Sana kufikia hata kulia,
Nimewahi kukonda Sana kwa mazoezi(jeshini) lakini pamoja na hayo kufanya mazoezi sana na kupungua mwiil kwa kiasi kikubwa lakini makalio hayapungui kwa kiasi kikubwa kama mwili unavyopungua.
Ombi langu Kwenu kwa anayejua DAWA Au SOLUTION yoyote nzuri ya kupunguza makalio atakuwa kanipa msaada mkubwa kwangu na watanzania wengine wenye matatizo kama hayo ambao hawajui tiba.
Ahsanteni