Mwenzetu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 550
- 193
Wadau nawasalimu wote,
Naomba msaada wa jinsi ya kuondoa au kuzuiya (ku dis-able pop up ads) kwenye simu. Ninatatizwa na kukuwaza sana na matangazo hasa yanayojitokeza kwenye simu wakati ninapokuwa na peruzi nyuzi humu jamvini.
Niseme ukweli mfano wa hili tangazo la TALA linanikera sana na sijui namna nitakavyoweza kuliondoa na mara nyingi limekuwa lina nililia bando zangu tuu.
Hivyo,naomba mwenye ujuzi wa namna ninanvyoweza ku block naomba anisaidie.
Wasalaam,
MWENZETU
Naomba msaada wa jinsi ya kuondoa au kuzuiya (ku dis-able pop up ads) kwenye simu. Ninatatizwa na kukuwaza sana na matangazo hasa yanayojitokeza kwenye simu wakati ninapokuwa na peruzi nyuzi humu jamvini.
Niseme ukweli mfano wa hili tangazo la TALA linanikera sana na sijui namna nitakavyoweza kuliondoa na mara nyingi limekuwa lina nililia bando zangu tuu.
Hivyo,naomba mwenye ujuzi wa namna ninanvyoweza ku block naomba anisaidie.
Wasalaam,
MWENZETU