STABILIZER
Member
- Jan 7, 2013
- 10
- 13
Jamani wenye uzoefu nisaidieni nifanyeje hapa?
Miaka miwili iliyopita nilipata rafiki ambaye tulikuwa wapenzi baada ya muda. Naweza kusema ni mzuri sana sijapata kuona, na kitandani anajua kufanya mambo sijapata kuona maishani. Nilijiona kweli hapa nimefika, yaani tukiingia tuu chumbani mashine yangu inasimaama fastaaaa. Mwaka jana alipatwa na matatizo ya macho Akaondoka akarudi kwa wazazi wake kwa matibabu. kwa mapenzi ya Mungu akapona na Mwaka huu akaja kunitembelea. Kumbuka wakati akiumwa hatukukutana kimwili zaidi ya kusalimiana tuu, na mara nyingi hatukuonana. Ilibaki msg na kupigiana simu tuu.
Hivi alipopona akaja na kunisimulia kilichompata. Anasema uchunguzi wa kidaktari unaonyesha alikuwa na sumu mwilini ambayo katika kutoka ikamuathiri macho na nusura apofuke macho kabisa. Kwa sasa anavaa miwani. Basi akanitafuta na kunisihi tuonane tukumbushie mambo yetu, nikamkubalia. Nikaenda alipo, nikamkuta kwake room. Baada ya maongezi tukaanza mchezo. Alipovua tuu nguo zake nikapatwa na mshtuko kuona mwili wake wote una mabaka meusi meusi kila sehemu kuanzia juu mpaka miguuni kama chatu vile.
Ile hali ilisababisha hisia zangu zipotee, lakini nikajikaza asigundue kama nimeshtuka, nikajilazimisha tukafanikiwa kwenda round one. Baada ya hapo nilishindwa kabisa, kwani binti alikuwa mweupe mzuri sana lakini alivyobadilika sikuamini. Kabla ya hapo hakuwahi kuniambia hilo. Katika maongezi nikamwuliza imekuwaje ? akasema ni madhara ya hiyo sumu ambayo ilimuathiri hadi machoni. Kwa kweli nilishindwa kuhimili round ya pili akawa analalamika tuu na kuniuliza nawaza nini? Alafu tulikuwa tumezoea kwenda round tatu au nne, so siku hiyo ilikuwa soo kubwa sana. Mpaka leo najisikia aibu kila nikikutana naye, roho haina amani. Je nifanyeje ili hali yangu irudi kuwa kawaida na nimzoee kama awali?
Miaka miwili iliyopita nilipata rafiki ambaye tulikuwa wapenzi baada ya muda. Naweza kusema ni mzuri sana sijapata kuona, na kitandani anajua kufanya mambo sijapata kuona maishani. Nilijiona kweli hapa nimefika, yaani tukiingia tuu chumbani mashine yangu inasimaama fastaaaa. Mwaka jana alipatwa na matatizo ya macho Akaondoka akarudi kwa wazazi wake kwa matibabu. kwa mapenzi ya Mungu akapona na Mwaka huu akaja kunitembelea. Kumbuka wakati akiumwa hatukukutana kimwili zaidi ya kusalimiana tuu, na mara nyingi hatukuonana. Ilibaki msg na kupigiana simu tuu.
Hivi alipopona akaja na kunisimulia kilichompata. Anasema uchunguzi wa kidaktari unaonyesha alikuwa na sumu mwilini ambayo katika kutoka ikamuathiri macho na nusura apofuke macho kabisa. Kwa sasa anavaa miwani. Basi akanitafuta na kunisihi tuonane tukumbushie mambo yetu, nikamkubalia. Nikaenda alipo, nikamkuta kwake room. Baada ya maongezi tukaanza mchezo. Alipovua tuu nguo zake nikapatwa na mshtuko kuona mwili wake wote una mabaka meusi meusi kila sehemu kuanzia juu mpaka miguuni kama chatu vile.
Ile hali ilisababisha hisia zangu zipotee, lakini nikajikaza asigundue kama nimeshtuka, nikajilazimisha tukafanikiwa kwenda round one. Baada ya hapo nilishindwa kabisa, kwani binti alikuwa mweupe mzuri sana lakini alivyobadilika sikuamini. Kabla ya hapo hakuwahi kuniambia hilo. Katika maongezi nikamwuliza imekuwaje ? akasema ni madhara ya hiyo sumu ambayo ilimuathiri hadi machoni. Kwa kweli nilishindwa kuhimili round ya pili akawa analalamika tuu na kuniuliza nawaza nini? Alafu tulikuwa tumezoea kwenda round tatu au nne, so siku hiyo ilikuwa soo kubwa sana. Mpaka leo najisikia aibu kila nikikutana naye, roho haina amani. Je nifanyeje ili hali yangu irudi kuwa kawaida na nimzoee kama awali?