Ndugu yangu vipi? Unanitakia ni R.I.P kwani nimesema nimekufa?
Nimepanda pale Kibaha leo Happy Nation ya Mwanza, huo mwendo wake....!! Nashukuru safari yangu ilikuwa inaishia Morogoro......
Humo humo kweny basi kuna namba SUMATRA ambazo unapiga bure ba kuwaeleza mwendo wa basi au mpigie Mpinga kwa hiz namba 0754 360 046
Hizo namba nasikia wamezitoa madereva kwa kuogopa kuharibiwa kazi na abiria. Leo asubuhi nilikuwa nasikia Clouds wakiliongelea hili suala la madereva wa mabasi kuondoa namba za SUMATRA garini.
Kwahyo SUMATRA hawana utaratibu wa kukagua hayo magar na kuona kama bado zipo au kwakuwa vuguvugu la ajari limepungua wameamua kulala
Nimepanda pale Kibaha leo Happy Nation ya Mwanza, huo mwendo wake....!! Nashukuru safari yangu ilikuwa inaishia Morogoro......