Habar wapendwa,
Pc yang nkiiwasha inanianiletea hv.. msaada kwa mweny kujua nin tatzoView attachment 1028965
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah imeshindikana.. inaanzia vile vileForce kuizima, halfu washa tena. kwenye startup option chagua "Start windows Normally"
Nikiwasha bdo inaniletea hv..View attachment 1029191View attachment 1029193View attachment 1029196
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mkuu nmejaribu bado inagoma..Washa na safe mode, ikikubali ujue kuna file kwenye pc yako linakuchezea, rudisha pc nyuma kwa restore point ya karibu.
Kuingia safe mode
-washa computer yako kawaida kabla ile screen ya windows haijatokea bonyeza F8
-utapelekwa kwenye advanced bootup option chagua safe mode.
Utaingia kwenye windows lakini itakuwa ni basics tu, hapa nakushauri restore pc yako kwenye earlier point, mfano wiki kadhaa nyuma. Kurestore just click search kisha search hilo neno itakuja.
Imegoma wapi?
Nikifuata maelekezo bdo inaniletea kweny huo mtiririko wa picha..Imegoma wapi?
Hio picha ya kwanza neno safe mode linatakiwa litokee. Unaweza nitajia full model ya hio pc? Tuone kama ina njia tofauti.Nikifuata maelekezo bdo inaniletea kweny huo mtiririko wa picha..View attachment 1029889View attachment 1029890View attachment 1029891View attachment 1029892View attachment 1029893
Sent using Jamii Forums mobile app
Dell Inspiron 1501Hio picha ya kwanza neno safe mode linatakiwa litokee. Unaweza nitajia full model ya hio pc? Tuone kama ina njia tofauti.
Bonyeza f8 mara nyingi kipindi inawaka.
Thanks imekubal, hatua inayofuata mkuu..Bonyeza f8 mara nyingi kipindi inawaka.
Nenda mpaka kwenye safe mode kisha bonyeza inter itawaka mpaka mwisho
Duh! imegoma ndugu.. bdo inarud kulekuleNenda mpaka kwenye safe mode kisha bonyeza inter itawaka mpaka mwisho