Habari wakuu?.
nimekuja tena kuomba msaada nikiamini hapa hakuna linaloshindika. Nilikuwa natumia simu ALCATEL 5023F na sasa natumia TABLET MIN7 VFD110(zote ni za vodacom)
tatizo la hii table ni space yaan uki-instal apk chache tu ishajaa,nkanunua sd card gb 16 lkn TATIZO nashndwa jinsi ya kuweka APK ktk sd card. Msaada nifanyeje ili niweze kuinjoi maana imekuwa kero kwangu