Habari wakuu,
Nimejaribu kuchunguza uhitaji wa nazi ndani ya jiji la Dar es Salaam,nataka nianze kuuza nazi kwa kufanya uchuuzi toka Pwani kuleta Dar na kuuza kwa wauzaji wa reja reja, naomba tafadhali kujua mwenye uzoefu na hii biashara changamoto zake na pia ukubwa wa soko lake kwa Dar es Salaam...Ahsante
Nimejaribu kuchunguza uhitaji wa nazi ndani ya jiji la Dar es Salaam,nataka nianze kuuza nazi kwa kufanya uchuuzi toka Pwani kuleta Dar na kuuza kwa wauzaji wa reja reja, naomba tafadhali kujua mwenye uzoefu na hii biashara changamoto zake na pia ukubwa wa soko lake kwa Dar es Salaam...Ahsante