Msaada: Siridhiki kufanya mapenzi

1. Nenda hospital
2. Nenda kawaone wataalam wa Magonjwa ya tabia
 
prayerrrs
 
Kiimani una roho ambayo inayokusumbua kufanya hivyo..roho ovu yenye dhambi kwani unachotaka kufanya haufanyi bali wafanya usichokipenda.

"Idle mind is devil workshop"Weka Mind yako busy kufikiri vitu vya maana itakupelekea kufanya vitu vya maana.Ukiweka mwili busy huku mind yako imejaaa kuwaza ngono tatizo lako halitoisha.

Purify your Mind....Kataa mawazo ya punyeto yanapokujia pamoja na utamu wa kufikirika wa ngono.Nauita wa kufikirika kwa sababu huo ndyo unakufanya usiridhike.Huo utamu unaotafuta haupo!!Waweza fanya meditation au tafuta kitabu cha "As the Man thinkenth"

Mwisho..Hakuna cha kukupa furaha duniani..Furaha inaanzia kwako mwenyewe.It begins with you!!!
 
Ukiachana na mambo ya kiimani....
Kuna mkaka nae alikua na tatizo hilo... Sasa yeye ilikua akiniona tu mashine inasimama (no question tafadhali). Ikafika hatua ata akimpakata mtoto anapata hamu saana. Ikabidi aende hospitali akaambiwa kua ni tatizo linawapata wanaume wachache. Kama upungufu wa nguvu za kiume sasa hapo nguvu zinakua zimezidi. Kuna dawa alipewa sasa yuko vizuri.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…