Msaada: Siridhiki kufanya mapenzi

bishororo

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2017
Posts
254
Reaction score
358
Wana JF,

Kuna kitu kinanisumbua kwa muda mrefu sasa nimekuwa na tatizo yani nafanya mapenzi kupata kiasi siwezi kumaliza siku mbili hata nikiacha kufanya.

Niko radhi nipige hata punyeto yani nahisi hata nina majini sina raha kuna siku naweza kufanya hata nawanawake 3 tatizo limekuwa sugu siwezi kuwa na girl mmoja hawezi kunvumilia sasa tatizo sijui ni nini.

Naomba msaada jamani litakuwa tatizo gani.
 
Fanya kosa uende jela ukakae hata miezi sita ukitoka hutawaza tena
 
Huenda utakua na shida ya wingi wa testesterone au vichocheo vinavyohusiana na activeness ya viungo vya kujamiiaana pamoja na emotions. Nadhani uende tu hosp utapata msaada. Ikishindikana join huduma ya maombezi ufanyiwe maombi
Nahis broo yan cna rahaaaa
 
Anzia hospital,vipimo na ushauri wa kitaalmu utakusaidia zaidi.
 
Achana nayo nenda fanya ibada
 
Fata maamrisho ya Mungu aliye kuumba wapo watu mmeumbwa hivyo oa wanawake wanne
 
Una miaka mingapi, maana sio kwa mwandiko huo. Ukikua mbona utaacha mwenyewe
 
Utakua,na mapepo
Tena,co ya nchii hiii

Fanya ukamwone tb joshua
 
Pole kwa hilo tatizo.

Je, unakua upo free sana muda mwingi? Kama jibu ni ndio, jitahidi kuwa busy na unapokua unapumzika jaribu kuwa na watu wengine ili katika mazungumzo akili inakua inafikiria mambo mengine.

Jaribu kuwa na ratiba ya mazoezi, kama muda wako unaruhusu ukimbie. Unaweza ukawa unapiga hata push ups kadhaa, ukaruka kamba. Uchovu wa mwili kutokana na zoezi utasaidia.
 
Bila shaka huna kazi ya kufanya,na kama unayo basi hiyo kazi haikuchoshi cha kukushauri tafuta hata shughuli ya ziada kama ujasiliamari iku keep busy na kukuongezea uchovu,sisi wenzio wengine hadi kulikimbia tuna likimbia hilo tendo kutokana na mikiki mikiki ya maisha
 
Tuache kumpotosha,Huo ni uwezo aliojaliwa na muumba wake ndio maana duniani hatupo binadamu hatupo sawa nenda hospital kwa wataalamu uone watakwambiaje.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…