Msaada: Sioni kozi za diploma NACTE

Msaada: Sioni kozi za diploma NACTE

Cjui utaipate ila ktk guidebook vyuo vya serikal vpo ila unapofany maomb ktk zile form z nacte auvikuti nmevion vile vya private 2 km kun aliyeon vy serikal naomb aniambie
 
Guide book hiyo apo kiongozi unaweza kuiangalia ila vyuo vya selikali hamna na pia kozi ya diploma ya education (in service) hamna pia hivyo kuwa makin ucje ukawapa pesab wale bule hawa jamaa hata hawaeleweki mkuu
 

Attachments

Kwel hawa jamaa nishida vyuo vya serikal amna bac masikin kalime maan kusoma chuo ch million n ushee c mchezo
 
Jamani vyuo vya DIPLOMA katika ku apply vyuo mbona haiji DIPLOMA zinakuja Certificate tuu msaada kwa hili maana unaweza ukasubili kumbe Kuna mbadala wa ku apply DIPLOMA wenzangu mnajua nijuzeni kwa hili
 
NTA level 4 ni basic sertificate (mwaka wa mmoja au mwaka wa kwanza) na NTA level 5 ni technician certificate ( huyu ni mwanafunz wa mwaka wa pili) n mwaka wa tatu inaitwa NTA level 6 au diploma. kama hujaelewa nakaribisha swali
....na diploma ya mwaka 3 inaitwa NTA Level 7 (Advanced/Higher Diploma = equivalent degree) na diploma ya mwaka wa 4 inaitwa NTA Level 8 = postgraduate diploma (Bachelor degree)
 
Wana Jf naomb mnifahamishe kw waliomb vyuo kupitia nacte km kuna aliyeona vyuo vya serikal ktk course ya uwalim aniambie me nmeviona vyuo vya private 2 wakat ktk guidbook vyuo vyote wamevionesha
Kwa vyuo vya ualimu upande wa serikali inawezekana kabisa kuwa nafasi zimeisha maana wamewaamishia wale wanachuo wa UDOM
 
Ss wana JF vyuo vy serikal vnavyotoa diploma vtakuw vmejaa au?
[quote uid=376684 name="abubakarbwamkuu" post=16972848]Wana Jf naomb mnifahamishe kw waliomb vyuo kupitia nacte km kuna aliyeona vyuo vya serikal ktk course ya uwalim aniambie me nmeviona vyuo vya private 2 wakat ktk guidbook vyuo vyote wamevionesha[/QUOTE]<br />Kwa vyuo vya ualimu upande wa serikali inawezekana kabisa kuwa nafasi zimeisha maana wamewaamishia wale wanachuo wa UDOM
 
Guide book hiyo apo kiongozi unaweza kuiangalia ila vyuo vya selikali hamna na pia kozi ya diploma ya education (in service) hamna pia hivyo kuwa makin ucje ukawapa pesab wale bule hawa jamaa hata hawaeleweki mkuu
Asante kwa msaada mkuu kidogo nilipe zile ela za kuombea chuo. Sasa tunaombaje vyuo vya serikali kwa upande wa education. Atakayepata ufumbuzi pliz atwambie
 
[quote uid=376684 name="abubakarbwamkuu" post=16972848]Wana Jf naomb mnifahamishe kw waliomb vyuo kupitia nacte km kuna aliyeona vyuo vya serikal ktk course ya uwalim aniambie me nmeviona vyuo vya private 2 wakat ktk guidbook vyuo vyote wamevionesha
<br />Kwa vyuo vya ualimu upande wa serikali inawezekana kabisa kuwa nafasi zimeisha maana wamewaamishia wale wanachuo wa UDOM[/QUOTE]
Acha uongo wewe.
 
<br />Kwa vyuo vya ualimu upande wa serikali inawezekana kabisa kuwa nafasi zimeisha maana wamewaamishia wale wanachuo wa UDOM
Acha uongo wewe.[/QUOTE]
Tupe sababu sasa kwa nini havionekani kwenye website ya NACTE? Au kama kuna utaratibu mwingine wa kuomba vyuo vya ualimu tuambie bac mkuu, vijana wanaangaika sana.
 
Acha uongo wewe.
Tupe sababu sasa kwa nini havionekani kwenye website ya NACTE? Au kama kuna utaratibu mwingine wa kuomba vyuo vya ualimu tuambie bac mkuu, vijana wanaangaika sana.[/QUOTE]
usipokiona means kimejaa
 
Hata mimi taarifa iliyoko kwenye profile yangu ni hiyohiyo! Ila kwenye selection status wameniambia eligible (ninasifa) 0759472960
 
vyuo vimejaa ndugu zangu ukiona vimeondolewa kwenye orodha na ulishakosa ujue wameshafanya mchujo wao inawezekana vigezo vipo lakini ushindani mkubwa ndio umesababisha wengi kukosa vyuo,so cha msingi nikuomba upya kwakutumia recomended institutions
 
Kuna mkakanyiko wa udahili mitihani kati ya NACTE na NECTA vikao vinaendelea toka jana
 
samahani kwa wale wa jiji la dsm au wanaosoma city college of health sciences dsm na waliochaguliwa kwa mwaka huu tukutane hapa plz,nimechaguliwa ngazi ya cheti kozi ya utabibu(c/officer) so tushauriane jamani tunafikaje maana wengine hatujawahi fika dar es salaam
 
Nafanya vip ili kuhamisha maombi toka kozi za afya kwenda kozi nyingine? Maana niliomba kozi za afya nikakosa ila kwa sasa kila nikitaka kuomba upya system inanocommand vyuo vya afya
kuhama au kuhamia category kuna mawili inawezekana extra charges ikahitajika yaani kulipia tena pesa nyingine,au uwe umepata hasara ya pesa maana the cost of the category is different jaribu kuliangalia na hilo,alafu kwanin uhame category hujiamin au hukua na specific goals????
 
Back
Top Bottom