kweli mkuu me pia nimekutana na hilo tatizo!habar wana jf toka juz nacte walivyo tangaza kuanza kupokea application za diploma nmekua Nikiingia kuapply but nakuta koz za certificate pekee yake but za diploma hazipo inakuwaje apo wana jf naomba msaada wenu axanten*
kozi gan ndugu unataka kuombAHabari wana JF toka juzi NACTE walivyotangaza kuanza kupokea application za diploma nmekua Nikiingia kuapply but nakuta kozi za certificate pekee yake but za diploma hazipo inakuwaje hapo wana JF naomba msaada wenu, asanteni.
Nitumie linkhata koz za diploma ya ualimu waliopo makazini (in service) pia hamna zipo za pre-service, nadhindwa kuelewa ni vyuo vimejaa au ni system yao inazingua?
Na kwa mtu aliyemaliza technician certificate(2 years) ya CO, akiomba diploma ya hiyo kozi je atasoma miaka mingapi ya dip?NTA level 4 ni basic sertificate (mwaka wa mmoja au mwaka wa kwanza) na NTA level 5 ni technician certificate ( huyu ni mwanafunz wa mwaka wa pili) n mwaka wa tatu inaitwa NTA level 6 au diploma. kama hujaelewa nakaribisha swali
One yearNa kwa mtu aliyemaliza technician certificate(2 years) ya CO, akiomba diploma ya hiyo kozi je atasoma miaka mingapi ya dip?
Hapo nimekupata mkuu ahsante.mtu mwenye technician certificate ya miaka kama ipo katika mtindo wa NTA bas atakua anacheti cha NTA level 5 kwa hiyo atasoma NTA level 6 ambayo ni diploma hivyo atasoma mwaka mmoja mkuu nadhan umenielewa
Ndugu yangu leo nilienda kwenye office za nacte dah walichosema kina vunja moyo kusoma tena wamesema kuwa kama kozi za diploma hazipo ujue chuo kimejaa so inabidi uapply mwakan ambayo ni wastage of time. Nimechoka nahaya maelezo yao ni bora utafute chakufanya kama utaweza kusubiri mpka mwakan itakua juu yako.Habari wana JF toka juzi NACTE walivyotangaza kuanza kupokea application za diploma nmekua Nikiingia kuapply but nakuta kozi za certificate pekee yake but za diploma hazipo inakuwaje hapo wana JF naomba msaada wenu, asanteni.
Mkuu samahani guidebook ya upande wa elimu unaipata sehemu gani?mbona mm sioni katika hizi walizo sema to download.Wana Jf naomb mnifahamzi kw waliomb vyuo kupitia nacte km kuna aliyeona vyuo vya serikal ktk course ya uwalim aniambie me nmeviona vyuo vya private 2 wakat ktk guidbook vyuo vyote wamevionesha