Hamna simu isiyo jaaMambo ya techno hayo.
Hamna simu isiyo jaa
Inategemea yako GB ngapi na RAM ngapi na matumizi yakoYangu haijai.
Samsung bhanaKwa hio ukisema hio ni simu gani,model unaona watu watanenepa mkuu.
Shida haitaki hata ni dowlord kitu inagoma kabisa wakati nishafuta vitu kibaoHizo Samsung Galaxy Young S6310 hayo ni matatizo ya kawaida.
Hapa inawezekana unafuta vifile vidogo vidogo tu kama picha haitasaidia.Nimejaribu ku delete app baadhi na nyingine nimezi desable na video nimefuta na picha nyingine nimehamishia kwenye memory card lakini kila nikiaptdate inaniambia device imejaa bado.je?ku a madhara yoyote nisipofanya?
Hebu jaribu kuangalia Chrome browser na YouTube Go uone yaweza kuwa ndizo zinakuletea stress.Nimejaribu ku delete app baadhi na nyingine nimezi desable na video nimefuta na picha nyingine nimehamishia kwenye memory card lakini kila nikiaptdate inaniambia device imejaa bado.je?ku a madhara yoyote nisipofanya?
Fanya factory resetShida haitaki hata ni dowlord kitu inagoma kabisa wakati nishafuta vitu kibao
Sent using Jamii Forums mobile app