mbelwaabdu
New Member
- Oct 18, 2017
- 4
- 1
Hey wadau nahitaji msaada wenu,
Simu yangu imeibiwa inakama siku tatu toka ipotee, kila nikijaribu kuipiga namba yangu inaita mtu anapokea then haongei kwahio inamaanisha huyo mtu bado anatumia laini yangu.
Sasa mimi nachohitaji kutoka kwenu nataka mnisaidie nifanyaje ili niweze kupata chating SMS zake ili niweze kumjua ninani na yuko wapi nataka kila SMS anayochat na mtu wake nami huku inifikie.
Naombeni msaada wenu kwa yeyote anaejua tekinolojia hiyo asisite kunisaidia.
Simu yangu imeibiwa inakama siku tatu toka ipotee, kila nikijaribu kuipiga namba yangu inaita mtu anapokea then haongei kwahio inamaanisha huyo mtu bado anatumia laini yangu.
Sasa mimi nachohitaji kutoka kwenu nataka mnisaidie nifanyaje ili niweze kupata chating SMS zake ili niweze kumjua ninani na yuko wapi nataka kila SMS anayochat na mtu wake nami huku inifikie.
Naombeni msaada wenu kwa yeyote anaejua tekinolojia hiyo asisite kunisaidia.