mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,564
- 6,403
Natumai mu wazima
Naomba kupata msaada juu ya simu yangu( samsung A3) inakataa kuingia chaji na kuandika NOT CHARGING NA KUANDIKA OVER HEATING HATIMAYE KUJIFUNGA APPLICATIONS ZOTE ZINAKUWA HAZIFANYI KAZI, hata kupiga simu ninakuwa siwezi labda emergency call tu.
Je, nini tatizo na utatuzi wa tatizo hilo ni upi?
Naomba kupata msaada juu ya simu yangu( samsung A3) inakataa kuingia chaji na kuandika NOT CHARGING NA KUANDIKA OVER HEATING HATIMAYE KUJIFUNGA APPLICATIONS ZOTE ZINAKUWA HAZIFANYI KAZI, hata kupiga simu ninakuwa siwezi labda emergency call tu.
Je, nini tatizo na utatuzi wa tatizo hilo ni upi?