Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Wasio na hela wanamwaga povu tu hapa....
Zote unazozitaka zipo katika hio simu ila kwenye sharing of contents ndio utakuwa limited. Aidha utumie itunes kuchukua nyimbo kwenye p.c mambo ya bluetooth hamna na app za maana itakubidi uwe unanunuaAsante,ina sifa zipi mkuu
Yan limewamwagika kama nn kuna mmoja apo mpk amethubutu kumwita mshamba ili hali hajui status ya mtu au anaingiza kias ganiWasio na hela wanamwaga povu tu hapa....
Kisa yeye ana tecno wereva ya elf 29!Yan limewamwagika kama nn kuna mmoja apo mpk amethubutu kumwita mshamba ili hali hajui status ya mtu au anaingiza kias gani
Kisa yeye ana tecno wereva ya elf 29!
Wasalaam
Naomba msaada nimetenga laki 7-8 kwa ajili ya simu,je ni simu gani nzuri zaidi kwa bei hiyo ambayo itanifaa?
NB;napenda sana simu nyembamba na nyepesi,pia camera bora kwa ajili ya kazi zangu.