Hakuna kucharge hovyo wala kulipuka au kupata moto.Nunua infinix zero 4 plus ,RAM 4gb,internal memory 64gb,camera 20 megapixel front 13megapixel bei 780,000
Haaahhhh,, second hand atapataHiyo hela ni ya tecno.iphone huwezi wewe na vihela vyako vya nyanya
Battery yake ni 4000mAhHakuna kucharge hovyo wala kulipuka au kupata moto.
Ukute unatumia Tecno ya 150,000/= na imeshaanza ku-stuck stuck ni vile tu hatukuoni hapo ulipo na wivu wako huo uliokujaa,sio fresh man kudharau cha mtu bora ukapita kimya.Hiyo hela ni ya tecno.iphone huwezi wewe na vihela vyako vya nyanya
Thanks mkuu,kuna mtu kanishauri humu humu iphone zina limitations nyingi,nimeuelewa vizuri ushauri wake.nafikiri kati ya samsung s8 second hand au infinixNyembamba nyepesi ina ram kubwa camera nzr sio kubwa sana kwa umbo inakaa fresh mkononi
Duuuu laki 8 kwa ajili ya simu tu
Unauza sh ngapi mkuu?we soma yote ukimaliza nichek nikuuzie SAMSUNG GALAXX s7 used in good condition.. shida zote utamaliza na change inabaki kwenye hiyo hela..
DahHiyo hela ni ya tecno.iphone huwezi wewe na vihela vyako vya nyanya
[emoji3] [emoji3] [emoji3] upoYan limewamwagika kama nn kuna mmoja apo mpk amethubutu kumwita mshamba ili hali hajui status ya mtu au anaingiza kias gani
Nipo bby umepotea. Ninunulie bas s8[emoji3] [emoji3] [emoji3] upo
[emoji3] [emoji3] Majukumu tu. Unataka hiyo s8Nipo bby umepotea. Ninunulie bas s8