Msaada simu inapata joto

Msaada simu inapata joto

chibi

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2013
Posts
240
Reaction score
65
Habari wakuu,

Nina simu ya mtumba nilinunua kama wiki tatu Sasa ila ina mtindo wa kupata joto nikiwasha data kidogo au nikiunga Hotspot na pc au hata niwasha baadhi ya apps. Cha ajabu naweza play audio usiku kucha na isipate joto au naweza ongea na mtu Muda mrefu still isipate joto

Aina ya simu ni: Samsung galaxy note edge.nilinunua na betri Aina ya excellent

Msaada wenu wadau plz
 
Kwa hiyo mkuu nikibadilisha battery tu inakaa Sawa boss
Yes mara nyingi betry ikianza kuisha nguvu inakuwa hivi,na ili kuipunguzia kazi kidogo iweke 3g kuliko 4g muda wote.
 
Yes mara nyingi betry ikianza kuisha nguvu inakuwa hivi,na ili kuipunguzia kazi kidogo iweke 3g kuliko 4g muda wote.
Lakini battery haina hata mwezi mkuu vp Hapo ni mwezi huu tar 7
 
Habari wakuu,

Nina simu ya mtumba nilinunua kama wiki tatu Sasa ila ina mtindo wa kupata joto nikiwasha data kidogo au nikiunga Hotspot na pc au hata niwasha baadhi ya apps. Cha ajabu naweza play audio usiku kucha na isipate joto au naweza ongea na mtu Muda mrefu still isipate joto

Aina ya simu ni: Samsung galaxy note edge.nilinunua na betri Aina ya excellent

Msaada wenu wadau plz
Weka kwenye friji
 
[SUP]m[/SUP]

Ni Samsung galaxy note edge mkuu
Dah mkuu,hizi zote nadhani muda wake wa duniani ndio unafanya hata.

Yaani s7 kushuka chini,ni ngumu sana kutulia hasa upande wa betry maana hata betry zenyewe ni kama zimeshaexpire.

Tatizo linaanzia unapowasha data.
 
Fanya ivi nunua mabarafu uwe unaiweka ndani ya barafu au usiku ilaze kwenye friza
 
Back
Top Bottom