Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 886
- 1,630
Habari zenu wanajamvi!
Natumai wote ni wazima,
straight to the point, simu yangu ya tecno L8 Plus imezima toka juzi na nilipo jaribu kuiweka kwenye chaji iliandika "erro!please plug out the charger" sijajua shida ni nini.
Naomb kufahamu kama kuna mtu aliyewahi kuexperience hili tatizo na alilitatuaje au mtu yeyote mwenye mchango wa kunisaidia.
Nawasilisha.........
Natumai wote ni wazima,
straight to the point, simu yangu ya tecno L8 Plus imezima toka juzi na nilipo jaribu kuiweka kwenye chaji iliandika "erro!please plug out the charger" sijajua shida ni nini.
Naomb kufahamu kama kuna mtu aliyewahi kuexperience hili tatizo na alilitatuaje au mtu yeyote mwenye mchango wa kunisaidia.
Nawasilisha.........
