Sawa kabisa mkuu.We
Weka laini ya halotel kisha nenda kwenye APN kama huoni kitu bonyeza menu button kwenye simu yako (yaani chini maana kuna back home na menu). Ukifanya hivyo yatajitokeza maneno add APN/newAPN click kisha fuata maelekezo ya wadau hapo juu kuweka APN za halotel.
We
Weka laini ya halotel kisha nenda kwenye APN kama huoni kitu bonyeza menu button kwenye simu yako (yaani chini maana kuna back home na menu). Ukifanya hivyo yatajitokeza maneno add APN/newAPN click kisha fuata maelekezo ya wadau hapo juu kuweka APN za halotel.
wakuu nashukuru nimefanikiwa baada yakufuata maelekezo yenu hapo juu.Shukrani sana wadauSawa Kabisa zitakuja hata mm Kuna siku ili isumbua