Fungakazi
Senior Member
- Jan 11, 2012
- 174
- 128
Mwanzo nilikuwa ninatumia internet ya tigo kwenye simu yangu nokia 3110 bila matatizo ila nikapoteza sim kad hiyo na kununua nyingne, ila hii mpya nikitaka kuingia net inaniambia 'Packet data conection not available' je kila sim card mpya lazma uinstall configuration mpya? Kama ndivyo naomba mnisaidie jinsi ya kufanya kwamaana nmetuma ujumbe wa kwenda 500 kimya, ujumbe wa kwenda 15006 kimya, nimepiga simu wananiambia ombi lako linashughulikiwa lakin hakuna kinachoendelea.