Ahsante kipenzii barikiwa mnooo ngoja nigoogle !na hongera kwa binti yetuIngia Google andika shule za sekondari private kwa mkoa uutakao zitakuja zote za details zake ikiwemo mawasiliano na fee structure.
St. Francis Mbeya ni the best fuatilia utaratibu wa kuipata. Na kama utataka mkoa tofauti ningekushauri Kahama mkoa wa shinyanga Kuna secondary ya wakatoliki inaitwa Queen of Family ni nzuri sana binti yangu amemaliza mwaka Jana akapata A masomo yote na amepata scholarship Canada.
Nzuri kitaaluma na kimaadili pia, Ada ni hapo hapo milioni tatu kasoro kwa mwaka.
Msomi ni ke au me?Habari zenu naomba kujuzwa shule nzuri zenye Ada za tozo kidogo kwa mikoa ya Kilimanjaro na Mbeya specifically shule za Seminary haswaa wakatoliki.
Kwa mwenye kujua hizo shule naomba msaada tafadhali.
Ada walau kuanzia 1.5 to 3m hivi.
Ahsànteni
maria de matias dodomaThanks kokote natafuta tu shule nzuri ya kimaadili
St. Monica ndiyo ile iliopo moshono kona?Nje ya mikoa uliyoitaja
Precious blood -Arusha
St monica - Arusha
Ahsanteee fomu napataje Broo?...maana mtandaoni mmekosa..ni nzuri na ipo kwenye top five zangu hyoo...pia!St mary ulete ipo karibu na ifunda iringa chini ya kanisa katoliki.ada nafuu sana na sasa hivi wanatoa fomu
Henry Gogaty Usa River Arusha hutojuta na iko ndani ya bajeti yakoKabinti kaka!!
Ingia ktk website yao kesho chukua contact zao wapigie mbona maisha mepesi zaidiAhsanteee fomu napataje Broo?...maana mtandaoni mmekosa..ni nzuri na ipo kwenye top five zangu hyoo...pia!
Maana mpk mda huu nna huruma Seminary Dom,St.marys ulete,anwarite nyingine ndo natafuta Moshi hukoo
Mpeleke Marry Goreth.I highly recommendJohn ahsanteee Ila nataka za wasichana my friend maana nna kabinti hapa ndo Niko kutafuta kashule kawasichana kako std 7 kanamaliza mtihanii this October
Nami nipe mwongozo wa shule nzuri za oleval dar nimpeleke mwanao for one madamme.Bila shaka Ushapata mwongozo mamy!!
Bila shaka Ushapata mwongozo