Msaada: Sheria ya hifadhi ya barabara

STREET SMART

JF-Expert Member
Feb 19, 2010
807
622
Wanajamii naomba mnisadie ushauri wa kisheria, Marehemu baba yangu alikuwa anamiliki eneo lenye nyumba na mabanda ya biashara, lenye Certificate of Ocupancy ya mwaka 1980 na kibali cha kuendeleza ujenzi kilichotolewa na afisa ardhi wa wilaya mwaka 2007, eneo lipo wilaya ya Newala Mkoa wa Mtwara.

Sasa juzi tumepokea barua ikitutaka kuvunja kila kitu kilichopo umbali wa mita 22 kutoka barabarani bila ya kufidiwa chochote. Ningependa nijue sheria inasemaje juu ya hili swala na naweza kuchukua hatua gani za kisheria kuanzia sasa.

IMG-20160509-WA0025[1].jpg
 
Nenda kwa mwanasheria, hapa hutapata concrete answer. Hii ni ishu nyeti ipeleke kwa mwanasheria.
 
soma paragraph ya kwanza ya hiyo hati.... uhai wa hiyo hati ni miaka 33.. na tangu iishe muda wake hujafanya juhudi zozote za kuongeza muda!!
 
soma paragraph ya kwanza ya hiyo hati.... uhai wa hiyo hati ni miaka 33.. na tangu iishe muda wake hujafanya juhudi zozote za kuongeza muda!!

Lakini 2007 tulipewa hii pia

IMG-20160509-WA0031[1].jpg
 

Attachments

  • IMG-20160509-WA0028[1].jpg
    IMG-20160509-WA0028[1].jpg
    22.9 KB · Views: 63
  • IMG-20160509-WA0032[2].jpg
    IMG-20160509-WA0032[2].jpg
    57.8 KB · Views: 63
soma paragraph ya kwanza ya hiyo hati.... uhai wa hiyo hati ni miaka 33.. na tangu iishe muda wake hujafanya juhudi zozote za kuongeza muda!!
Sheria ya ardhi, 1999 inatoa automatic renewal of right of occupancy anyway! ninesahau kifungu specific nadhani inahusu vile vile hati za nyuma. I will check!
 
Sheria ya ardhi, 1999 inatoa automatic renewal of right of occupancy anyway! ninesahau kifungu specific nadhani inahusu vile vile hati za nyuma. I will check!
The Land regulations 2001 (subsidiarry Legislation supp No 16 of 2001) Land Form No. 24
 
Back
Top Bottom