six center
New Member
- Jan 8, 2013
- 2
- 0
naomba kufahamu wapi nitazipata simu za samsung y duos na kwa bei gani
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani
Mlimani city bei laki tatu na nusu.
napita tu .
Mkuu Danali pale Mlimani city unapata simu genuine na warrant unajua bidhaa zimejaa tatizo unaweza pata feki.