Jum Records
JF-Expert Member
- Jun 30, 2014
- 548
- 559
sijakuelewa mkuuAcha zako ilishaondolewa sokoni tunajadili nn sasa
Haijaondolewa mkuu,iliyoondolewa ni SAMSUNG NOTE 7.Acha zako ilishaondolewa sokoni tunajadili nn sasa
Mimi number one fan wa hiyo simu. Kwanza sijui nianzie wapi.wadau naomba kujulishwa kuhusu ubora na mapungufu ya simu ya Samsung Galaxy S7 edge kwa waliobahatika kuzitumia maana ninaipenda sana na nina mpango wa kuinunua katikati ya mwezi May 2017 Mungu akinijalia uhai....natanguliza shukrani!!!
shukrani sana mkuu....Mimi number one fan wa hiyo simu. Kwanza sijui nianzie wapi.
Pros:
Camera is superb
Water resistance and dust resistance
Fantastic battery life
Liquid cooling system
Super amoled screen
Sexy
SD card is back
Cons:
No IR blaster
Smaller than the s6(not really a con)
Battery is not removable
Ningependa kuongelea haya kidogo since I am a camera freak. S7 camera is 12MP, s6 was 16MP. Ukilinganisha picture quality, s6 ina more detail. Lakini huwezi kuona hili kama unatumia screen ndogo. Tumia kubwa... 50+inch. Which is unlikely. Watu wengi Picha uishia kwenye simu tu, so that wouldn't be a problem. S7 ni balaa kwenye low light since its f1.7 na pixels zake kubwa kuliko s6, s6 ni f1.9. Pia kwa sababu hiyo, s7 inaonyesha bokeh effect vizuri kuliko s6.
Kitu ninachochukia kuhusu s7, picha utapiga kwa 4:3 ukitaka all 12MP ziwe in use. Ukitaka full screen, yani 16:9 itakuwa 9.1MP tu. Wakati s6 inapiga 16:9 kwa all 16MP.
Anyway ulikua haulinganishi between s6 na s7 but nimeona nitakueleza vizuri kwa mfano huu. Overall S7 is a fantastic phone. Kwa nilivyotumia s7 na s6. S7 haichemki kabisa. Its a future proof device.
Utaipenda sana. Kama una swali, uliza. Mwenyewe nataka kuongeza ninunue s7 edge... S7 ndogo
-callmeGhost
Mkuu kati ya note 5 na S7 nichukue ipi?Mimi number one fan wa hiyo simu. Kwanza sijui nianzie wapi.
Pros:
Camera is superb
Water resistance and dust resistance
Fantastic battery life
Liquid cooling system
Super amoled screen
Sexy
SD card is back
Cons:
No IR blaster
Smaller than the s6(not really a con)
Battery is not removable
Ningependa kuongelea haya kidogo since I am a camera freak. S7 camera is 12MP, s6 was 16MP. Ukilinganisha picture quality, s6 ina more detail. Lakini huwezi kuona hili kama unatumia screen ndogo. Tumia kubwa... 50+inch. Which is unlikely. Watu wengi Picha uishia kwenye simu tu, so that wouldn't be a problem. S7 ni balaa kwenye low light since its f1.7 na pixels zake kubwa kuliko s6, s6 ni f1.9. Pia kwa sababu hiyo, s7 inaonyesha bokeh effect vizuri kuliko s6.
Kitu ninachochukia kuhusu s7, picha utapiga kwa 4:3 ukitaka all 12MP ziwe in use. Ukitaka full screen, yani 16:9 itakuwa 9.1MP tu. Wakati s6 inapiga 16:9 kwa all 16MP.
Anyway ulikua haulinganishi between s6 na s7 but nimeona nitakueleza vizuri kwa mfano huu. Overall S7 is a fantastic phone. Kwa nilivyotumia s7 na s6. S7 haichemki kabisa. Its a future proof device.
Utaipenda sana. Kama una swali, uliza. Mwenyewe nataka kuongeza ninunue s7 edge... S7 ndogo
-callmeGhost
Natumia s6 edge kuchemka inachemka sema kwa kutunza charge utaipenda,Iko vizuri.Mimi number one fan wa hiyo simu. Kwanza sijui nianzie wapi.
Pros:
Camera is superb
Water resistance and dust resistance
Fantastic battery life
Liquid cooling system
Super amoled screen
Sexy
SD card is back
Cons:
No IR blaster
Smaller than the s6(not really a con)
Battery is not removable
Ningependa kuongelea haya kidogo since I am a camera freak. S7 camera is 12MP, s6 was 16MP. Ukilinganisha picture quality, s6 ina more detail. Lakini huwezi kuona hili kama unatumia screen ndogo. Tumia kubwa... 50+inch. Which is unlikely. Watu wengi Picha uishia kwenye simu tu, so that wouldn't be a problem. S7 ni balaa kwenye low light since its f1.7 na pixels zake kubwa kuliko s6, s6 ni f1.9. Pia kwa sababu hiyo, s7 inaonyesha bokeh effect vizuri kuliko s6.
Kitu ninachochukia kuhusu s7, picha utapiga kwa 4:3 ukitaka all 12MP ziwe in use. Ukitaka full screen, yani 16:9 itakuwa 9.1MP tu. Wakati s6 inapiga 16:9 kwa all 16MP.
Anyway ulikua haulinganishi between s6 na s7 but nimeona nitakueleza vizuri kwa mfano huu. Overall S7 is a fantastic phone. Kwa nilivyotumia s7 na s6. S7 haichemki kabisa. Its a future proof device.
Utaipenda sana. Kama una swali, uliza. Mwenyewe nataka kuongeza ninunue s7 edge... S7 ndogo
-callmeGhost
Hili mwenyewe lilikuwa lina nisumbua.Mkuu kati ya note 5 na S7 nichukue ipi?
Mkuu nilimaanisha S7 edge.Hili mwenyewe lilikuwa lina nisumbua.
Kumbuka camera ya note 5 ni kama ya s6, so its fantastic. Ila hapa kusikusumbue kivile maana s7 ina post processing sio ya nchi hii, utasema picha imepigwa na DSLR. Difference utaona kwenye big screen tho.
Note 5 ina s pen. S7 naamini unazungumzia ile ndogo, sio edge. Kwahiyo note 5 ni advantage kama wewe ni mpenzi wa kuandika notes... Kama upo chuo ni safi sana, overall kama your daily life ni kuandika short notes ipo poa. Kuna jamaa wangu, yeye s pen hatumii kabisa, anatoa kushowoff kwenye sherehe tu.
Usisahau screen size. Kama unaongelea s7 tu amabayo sio edge. Jiulize unapenda 5.1' screen au 5.7'. Kama unapenda screen estate, chukua note 5. Zote zina resolution sawa, pixels note 5 inazo ndogo but hutaona difference na macho ya binadamu. So its not significant.
In terms of battery life, zote sawa. 3000mAH. Don't worry about that. Zote zina wireless na fast charging.
Kwenye note 5 unaweza kumulti task. Kwa maana ya kufungua apps mbili. Moja juu nyingine chini at the me time. Which is awesome. S7 huwezi unless its the edge. Note 5 ukinunua nakushauri uweke bundle la maana uupdate. Sababu ni; note 5 ilitoka na bad ram management. Yani kwa mfano ulikuwa unasoma kitu Google chrome, upo page ya 10, ukafunga, ukifungua unakuta inareload upya page 1. But walitoa update amabayo ili fix hii. Wenzangu wanaotumia note 5 wanasema ipo poa now.
Note 5 sio water resistance. Lakini mimi naona hizi ni gimmicks tu. Utaingia na simu kupiga picha ndani ya swimming pool? I don't think so, chance ya kudondosha simu kwenye choo is 1/10. Its up to you. Kama wewe ni mtunzaji. S7 haina point.
Note 5 storage is not expandable. 64gb nyingi zilikuwa huko huko USA ni hazipatikani kirahisi. Unless kama unaagiza eBay. But mtaani sijui Samsung shop kuzipata ni bahati. Nyingi ni 32gb. Wakati s7 ni 32gb na unaweza kuweka SD card up to 200gb.
Maswali machache ya kujiuliza;
1. Unapenda picha amabayo ipo saturated? Ina chumvi nyingi kufidia zile 4MP. Jibu s7
2. Wewe ni mtu wa kuandika notes sana? Jibu note 5
3. 32gb haikutoshi? S7
My opinion; s7 is a nice phone. If money is not an object then get it kama unapenda big screen get the note 5. Its almost the same phone without the fancy features like water proof... More questions? Ask
-callmeGhost
Same comparison.. Except; tofauti ya regular s7 na s7 edge ni screen size, battery size na dual curved edges basi. The rest is the same.Mkuu nilimaanisha S7 edge.
S6, note 5 na s7/edge zote zina fast charging. Rate is almost the same. So hicho kisiwe kigezo.samsung S7 edge si ina fast charging....60% kwa 30 Mins
hongera mkuu from TECNO-Y2 to SAMSUNG S7...hongera tena....
ni kwel mkuu...niliibiwa samsung S4...so ikabid nitumie hii kwa muda wakat najipanga kununua S7... [HASHTAG]#think[/HASHTAG] big#hongera mkuu from TECNO-Y2 to SAMSUNG S7...hongera tena....
mzee uko nondo balaa...S6, note 5 na s7/edge zote zina fast charging. Rate is almost the same. So hicho kisiwe kigezo.
Kigezo kiwe battery size, camera quality(personal preference), design, water resistance na expandable storage.
-callmeGhost
Jipange uchukue s8 au s8+ ndo mbadala mzuri wa s7edge...wadau naomba kujulishwa kuhusu ubora na mapungufu ya simu ya Samsung Galaxy S7 edge kwa waliobahatika kuzitumia maana ninaipenda sana na nina mpango wa kuinunua katikati ya mwezi May 2017 Mungu akinijalia uhai....natanguliza shukrani!!!
mzee kukimbizana na technology huku ntakuja kufail....Jipange uchukue s8 au s8+ ndo mbadala mzuri wa s7edge...