Msaada Samsung J7 Prime imeingia maji

Msaada Samsung J7 Prime imeingia maji

marinemzee

Senior Member
Joined
Jul 22, 2015
Posts
113
Reaction score
69
Wakubwa naomba msaada simu yangu imeingia maji,hii ni mara ya pili mara ya kwanza iliingia maji ya bahari nikaiweka kwenye mchele usiku kucha asubuhi ikawaka safi. Sasa jana tena imeingia maji ya kawaida nimeweka kwenye mchele lakini kumekucha nimejaribu kuiwasha imekataa kuwaka,naomba msaada nifanyaje!
Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakubwa naomba msaada simu yangu imeingia maji,hii ni mara ya pili mara ya kwanza iliingia maji ya bahari nikaiweka kwenye mchele usiku kucha asubuhi ikawaka safi. Sasa jana tena imeingia maji ya kawaida nimeweka kwenye mchele lakini kumekucha nimejaribu kuiwasha imekataa kuwaka,naomba msaada nifanyaje!
Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kwa mafundi simu unaemwamini ifanyiwe vipimo kama huna fundi njoo nayo Kkoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom