Msaada Samsung gt series ukibonyeza menu inaleta error

Msaada Samsung gt series ukibonyeza menu inaleta error

MO11

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
19,560
Reaction score
41,522
Simu inawaka na kutumika inatumika ila ukienda menu inaandika

The aplication samsung home
(process com.sec.android.app.twlauncher) has stopped unexpectedly.
please try again.


msaada wakuu
 
Fanya hard reset aka factory reset
NB: Utapoteza data zako zote ulizo save kwenye simu yako
 
unafanyaje hapo ?
zima simu yako, toa line na memory card, baada ya hapo wewe iwashe simu yako ukiwa umeshika button ya volume up (yaani unashika button zote mbili kwa wakati mmoja Power+Volume up).
Baada ya hapo zitakuja options kibao ila nenda kwenye factory reset, scroll down kwa kutumia volume down button hadi kwenye factory reset, fanya selection kwa kutumia power button ya simu yako. nenda hadi kwenye wipe data/factory reset,
baada ya hapo simu yako itajireboot then utafanya set up zako upya. ila kama kunasehemu nitakuwa nimekosea basi wadau wengine watajazia mapengo. all the best
 
Back
Top Bottom