New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,400
- 2,572
nina samsung nimeinunua china..kule ilikuwa ikifanya poa kabisa ila baada ya kufika hapa nchini nimeweka line zetu haisomi inasema insert sim card
Nenda setting afu shuka mpak about phone screenshot utume hapa chapu tuonenina samsung nimeinunua china..kule ilikuwa ikifanya poa kabisa ila baada ya kufika hapa nchini nimeweka line zetu haisomi inasema insert sim card
Iscreenshot model ya simu kweny about phone utume hapa tuonenina samsung nimeinunua china..kule ilikuwa ikifanya poa kabisa ila baada ya kufika hapa nchini nimeweka line zetu haisomi inasema insert sim card
Charging system imekufa hiyoNina simsung nikiweka charge hata ikae masaa kumi haingizi charge na cjui kwa nn
Samsung gani ?Nina simsung nikiweka charge hata ikae masaa kumi haingizi charge na cjui kwa nn