Msaada Samsung galaxy s4 kwa wenye utala

Msaada Samsung galaxy s4 kwa wenye utala

BEDO NYALUTOGO

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,328
Reaction score
194
habari wanna jf naomba kuliza maswali yafuatayo kuhusu Samsung galaxy s4
1.je? kuna sm inaitwa "Samsung galaxy s4 note"

2.bei ya hiyo sm tajwa hapo juu ni shillings gapi? kama ni mpya.
3. nimekutana sm tajwa hapo
 
Simu aina ya Samsung Galaxy S4 ipo na kwa maduka yaliyopo Mlimani City kuna
duka pale linaitwa Phone 1 wanauza 1,020,000/-
Samsung Dukani kwao pale pale Mlimani bei ni 1,040,000/-
 
Simu aina ya Samsung Galaxy S4 ipo na kwa maduka yaliyopo Mlimani City kuna
duka pale linaitwa Phone 1 wanauza 1,020,000/-
Samsung Dukani kwao pale pale Mlimani bei ni 1,040,000/-

Yeye ameuliza simu aina ya SAMSUNG GALAXY S4 NOTE


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Sijaona. Ipo Samsung Galaxy S4 na Samsung Note 1 - 3
 
Back
Top Bottom