richnigga
Member
- Dec 25, 2014
- 82
- 53
Wadau nina kuna tatizo kwenye hii simu yangu.. simu tajwa hapo juu nikiicharge inajaa mpaka 70% tuu... kuanzia hapo haiendelei hatakama ukaicharge siku nzima... haifikishi 100% battery.
Sijui kama tatizo ni battery yenyewe au ni nini...
Naombeni msaada wa utatuzi wa hii changamoto wadau.
Sijui kama tatizo ni battery yenyewe au ni nini...
Naombeni msaada wa utatuzi wa hii changamoto wadau.