Msaada Samsumg J2 inaandika Emergence call nifanyaje

Msaada Samsumg J2 inaandika Emergence call nifanyaje

Ellon

Member
Joined
Jan 7, 2021
Posts
80
Reaction score
125
Habari

Nina Simu aina ya Sumsung J2 iliokotwa week iliyopita, nimeweka laini ikawa inafanya kazi vizuri kilakitu leo asubui kuifanya imeandika EMERGENCE CALL maana yake haisomi mnara...kingine hii simu Icon ya mnara ipo hata kama ujaweka Laini so inaandika Emergence Call kwa uuwelewa wangu mnara hausomi sijui lakini ila pale juu ICON ya Mnara ipo.

Natumia Halotel nikijaribu kufanya Setting kwenda kwenye NETWORK OPERATOR halotel siioni kuna Tigo, Zain Tz na Voda nimejaribu kutoa Laini kuweka Tigo nikienda kwenye Network Operator inakataa kufanya Regestaring Network...So laini zote zinaonesha zinasoma nikienda kwenye Simcard ila ukituma text, Call inasema No network registerd ukiwasha data haiwaki intenet inakataa

Nikitoa laini zote kuweka kwenye simu nyengine kilakitu safu Network Operator Mitandao yote ipo hamna tatizo yaani.

Shida ni nini na natatuaje wadau.
 
Kumbe cheap aisee, ila Mkuu mbon jana na juzi nilikuwa naitumia Fresh kwanini leo
Kuwa makini sana mkuu serikali pia ina uwezo wa kulifungia simu na ikawa emergency mode mda wote kwa kuiblackliat imei,

Jaribu kwenda setting Kisha about Angalia kama baseband ipo
 
Kuwa makini sana mkuu serikali pia ina uwezo wa kulifungia simu na ikawa emergency mode mda wote kwa kuiblackliat imei,

Jaribu kwenda setting Kisha about Angalia kama baseband ipo
Ndio nini ngoja niangalie
 
Kuwa makini sana mkuu serikali pia ina uwezo wa kulifungia simu na ikawa emergency mode mda wote kwa kuiblackliat imei,

Jaribu kwenda setting Kisha about Angalia kama baseband ipo
Baseband ipo Mkuu
 
Simu ya kuokota inakuhangaisha hivyo je ingekuaje kama ungenunua mwenyewe?
USHAURI.

Achana na hiyo simu itakufikisha sehemu mbaya, ila kama hutaki basi endelelea kuweka hizo line kwenye simu.
Hii Dunia ya sasa Sio ya kuokota tu simu na kuaza kuitumia utapewa kesi ya mauwaji kwa tamaa zako.
 
Simu ya kuokota inakuhangaisha hivyo je ingekuaje kama ungenunua mwenyewe?
USHAURI.

Achana na hiyo simu itakufikisha sehemu mbaya, ila kama hutaki basi endelelea kuweka hizo line kwenye simu.
Hii Dunia ya sasa Sio ya kuokota tu simu na kuaza kuitumia utapewa kesi ya mauwaji kwa tamaa zako.
Tukia mzee mtaani mambo ni tofauti kabisa
 
Irudishe kwa mwenyewe atajua jinsi ya kuitengeneza.
 
Nyoosha maneno basi,hiyo simu imeokotwa una uhakika? Mbona kama kuna jambo unajaribu kulificha?

Fuata ushauri wa comment #10 ya mkuu Mkwaha tamaa ya kitu kidogo isije ikakufanya ukaja ukajuta na itakua too late,

Usije kusema hukuambiwa.
 
Simu ya kuokota inakuhangaisha hivyo je ingekuaje kama ungenunua mwenyewe?
USHAURI.

Achana na hiyo simu itakufikisha sehemu mbaya, ila kama hutaki basi endelelea kuweka hizo line kwenye simu.
Hii Dunia ya sasa Sio ya kuokota tu simu na kuaza kuitumia utapewa kesi ya mauwaji kwa tamaa zako.
Naunga Mkono Hoja
MWENYEWE KAFANYA HIVYO
 
Inawezekana mwenye simu ndo kaifanya ivo kupitia Samsung account, kuwa makini usitiwe nguvuni mkuu, mkataa pema pabaya panamwita.
 
Wazee muna comment kama mumezaliwa masaki na Osterbay, mtu elfu 2 inakupiga chenga uokote kitu cha 100K uache WTF

Simu imeokotwa haina laini wala details yoyote ya kutambulisha simu ya fulani hakuna hata kimoja kulikuwa na Apps za megemu na za kitoto tu.

Simu ishapona ilikuwa mtandao tu nahisi toka jana ipo safi JF munajifanya wote matajiri
 
Back
Top Bottom