Sidhani nimeread kutoka simu nzima na toolz zaidi ya 3 scatter na bin lakini wapiLabda file lina tatizo
Kinacho sumbua hapo bootloader imefungwa jaribu kuifungua kama itakubali ndo uiflash upya. Simu nyingi zenye android 5 kuendelea bootloader zimefungwa.Sidhani nimeread kutoka simu nzima na toolz zaidi ya 3 scatter na bin lakini wapi